Friday, July 24, 2009

Kilimo yawatunuku wafanyakazi bora mwaka 2009



Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika usiku wa tarehe 22/07/2009 uliwatunukia vyeti vya ufanyakazi hodari wafanyakazi 16 wa wizara hiyo katika sherehe kabambe iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Dodoma Hotel. Pamoja na Vyeti kila mmoja alipata Hundi yenye thamani ya Tshs 300,000/= pichani Mtafiti Mkuu Bw.Ninatubu Lema akijatayarisha kupewa cheti na aliyekuwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo Mhe. Stephen Wasira, Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika.

No comments: