Tuesday, February 12, 2008

TUANZE KUWAAMINI WAANDISHI WAHABARI

Katika toleo lake 81 la tarehe 23-29, 2008 Gazeti la Mwanahalisi liliandika Vigogo watatu kuumbuka. Hatukuamini. Toleo la 83 likaandika Sakata la Richmond: Lowassa kitanzini - Mawaziri watatu kujiuzulu, mmoja adai kutolewa kafara- Hatukuamini. Sasa yametokea. Tuanze kuwaamini waandishi wahabari.

No comments: