Sunday, June 15, 2008

Ni hatari kama Bunge sasa limeanza kuamini "JUJU"

Leo jumapili 15/06/2008 katika ukurasa wa kwanza wa gazeti la "Sunday News" kuna habari zilizoandikwa kuwa timu iliyoundwa na Spika wa bunge la Jamuhuri kuchunguza imani za kishirikina Bungeni.

Eti inasemekana kuwa kuna mbunge mmojan anayehisiwa kujihusisha na imani za kishirikina bungeni. Kwa hali hii naona kuna hatari ikiwa tumefikia hatua ya bunge letu kuanza kuamini "JUJU." Wananchi wa kawaida wasemeje?

No comments: