Wednesday, October 15, 2008

Kushindwa kwa CCM Tarime ni funzo

Licha ya kuwa jimbo la Tarime hapo awali lilikuwa chini ya umiliki wa CHADEMA na sasa baada ya kufanyika uchaguzi mdogo CHADEMA imelirudisha tena jimbo hilo kwenye himaya yake huku ikikiacha Chama Cha Mapinduzi KULIKONI Tarime?

No comments: