Monday, April 6, 2009

Abiria tusubiri vituoni


Barabara ya Kilwa iendayo Mbagala Rangi 3 imekamilika kwa asilimia 95. Tatizo ni kwa abiria kusubiri mabus kwenye vituo walivyovizoea. Hii si tabia nzuri hata kidogo. Kwa mfano pale Mbagala Zakhem abiria husubiri bus karibu na Benki ya NBC ambako hakuna kituo. Kituo kimesogzwa mbele kidogo tu lakini watu wa kutoka Kiburugwa wanaona pale ndo kituo. Acheni hizo tuwe wastaarabu, tutumie vituo vizuri tulivyojengewa.

No comments: