Monday, April 6, 2009

Wanapokuwepo zaidi ya watu mmoja

Binadamu tumeumbwa na huruka zetu. Kuna waongeaji sana, kuna walalamikaji, kuna wapole kuna wambeya, kuna wenye huruma, kuna wajanja n.k. n.k. Ili tuweze kuishi vizuri tunahitaji kujiwekea taratibu na taratibu lazima zifuatwe. Iwe kazini, kwenye chama, kwenye dini.............

No comments: