Monday, April 6, 2009

Kweli utalijua jiji

Jiji la Dar kwa sasa halitamaniki. Sehemu nyingi zimetota kwa maji. Nenda Kariakoo kuchafu, nenda Manzese chafu, rudi Mbagala chafu, tembelea Tandika chafu, sogea Magomeni oh chafu. Ama kweli sasa utalijua jiji kwa uchafu.

No comments: