Monday, August 31, 2009

Madereva watanashati


Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika inazingatia umuhimu wa wafanyakazi kupatiwa sare za kazi. Moja ya kada zinazopatiwa sare hizo ni madereva. Pichani wanaonekana madereva Salehe Mkwawa na Lems Nyagawa wa Idara ya Utafiti na Maendeleo wakiwa kwenye sare za kazi wakifurahia maisha!

No comments: