Wednesday, August 26, 2009

Poa-Nimerudi jukwaani


Kwa kipindi cha mwezi mmoja wasomaji wangu mlikosa uhondo kutoka kwa Banzi wa Moro hii imetokana na kubanwa na shughuli nyingi za kikazi, misafara, bajeti, NaneNane na kadha wa kadha . Lakini kwa muda huo wote nimefanya mengi, nimeona mengi na kujifunza mengi. Pindi itakapowezekana nitawamegea humu bloguni. Poa, nimerudi jukwaani.

No comments: