Wednesday, August 26, 2009

Wajasiriamali waliuza mazao ya mifugo


Hakika, Nzuguni Dodoma wajasiriamali walionyesha jinsi mifugo ilivyokuwa mali wakati walipouza mazao mbalimbali yanayotokana na mfigo kuanzia nyama, kuku, maziwa, samaki, jibini, siagi, viatu, mikanda, mikoba na mtindi! Pichani - Blogu hii ikipata mtindi baridi!

No comments: