Wednesday, August 26, 2009

Nane Nane imeanza kuwa ya wakulima


Ndiyo, maonyesho ya Nane Nane sasa yameanza kuwa ya wakulima za idi kuliko iliv yokuwa hapo awali ya wataalamu! Mwaka huu nilibahatika kuwepo kwenye viwanja vya Themi Arusha na Nzuguni Dodoma. Nilikuwa na shauku ya kutembelea mabanda ya Halmashauri ili niweze kubaini kama kweli teknolojia zimeshaanza kupenyeza kwa wakulima. Kweli teknolojia sasa zipo. Wakulima wanaelewa na matokeo ni mazuri. Niliweza kuona mikungu ya ndizi mikubwa kwenye banda la Monduli na pia wakulima walionyesha baadhi tekenolojia ambazo kwa kweli zainavutia. Tatizo soko.

No comments: