Friday, August 28, 2009

Sidhani kama tunamuelewa Kardinali Pengo


UFISADI unaongelewa sana katika nchi yetu. Moja ya sababu inayodunisha maendeleo yetu. Watu mbalimbali wamepiga na wanaendelea kupiga kelele kuhusu UFISADI. Imefikia wakati hata Kanisa kuingia katika ngoma nalo linapiga kelele. Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Kardinali Polycarp Pengo ana mashaka na wote wanaopiga kelele kuhusu UFISADI kama kweli kelele hizo ni za dhati au ni wivu. Anauliza Pengo je hao wanaopiga kelele wangekuwa kwenye nafasi hizo wasingeweza kuwa MAFISADI. Tujiulize sote ni hapa tu tutakapopata jibu ndipo tutakapomulewa Kardinali Pengo.

No comments: