Wednesday, August 26, 2009

Siyo Nzuguni-Hapa ni Dodoma Hotel


Kama kuna mwekezaji basi huyu wa Dodoma Hotel ni kiboko. Dodoma Hotel imebadilika kabisa kumbi za mikutano za kisasa zimeongezwa pamoja na kuboreshwa huduma. Hebu cheki chumba cha kupumzikia mgeni rasmi kabla hajafungua kikao. Pembezoni mwa Dodoma Hotel TRL-Dodoma Station choka mbaya. Habari ndiyo hiyo.

No comments: