Thursday, January 27, 2011

Hata Waziri anakagua nyama


Tangu achaguliwe kuwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi. Dkt. Mathayo David Mathayo amelivalia njuga suala la usafi wa machinjio mpaka kieleweke. Hivi ndivyo inavyotakiwa. Anataka kuona walaji wanapata nyama bora. Pichani anaonekana akikagua machinjio ya kisasa ya Kizota mjini Dodoma (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi-27/1/2011)

No comments: