Thursday, January 27, 2011

Yatima sawa-Mazingira je?


Siwezi kubisha kuwa aliyeongoza katika mtihani wa kidato cha nne ni msichana Lucylight Mallya ambaye ni yatima. Lakini msichana huyu amesoma katika moja ya shule bora nchini za sekondari St. Marian iliyopo mkoa wa Pwani. Isitoshe hata picha hiyo inaonyesha kwao (ukoo wao) anakoishi kumetulia. Hebu check shangingi lilivyotulia kwenye garden. Tunamtaka yatima atakayeongoza kutoka shule za kata!

No comments: