Wednesday, January 26, 2011

Hebu soma habari hii ya kutoka Kigali Rwanda

Wanatosa
Niko huku Butare Rwanda kuwafundisha mambo ya forodha hawa jamaa wenye shingo ndefu yaani hapa ni typical Ipamba. Huku jamani miji ni misafi hakuna mfano. Yaani tolauwanja wa ndege hadi huku niliko kama kilomita 150 toka Kigali, ni kusafi na maua utafikiri mtoni kwa mama bustani. Siwezi kuelezea. Kila jumamosi ya mwisho wa mwezi Mhe Rais na wananchi wote wanashika fagio na hakuna gari kutembea barabarani. Ukiwa unasafiri siku hiyo utajiju. Kama Mstahiki Meya Masaburi na Jerry Silaa akaamua na wenzao wa Temeke na Kinondoni kufanya zoezi hilo Dar itkuwa mbinguni yaani Lupalama, hakuna harufu ni upepo tu. Kuna manispaa moja ilianzisha lakini haikufanikiwa kwani lazima manispaa zote zishirikiane. Mbona kule kwetu Moshi wameweza? (alaa Nyange unacheka nini si nimeoa huk?. Biblia nasema mtu atamwacha babaye ataambatana na mkewe siyo mke ataambatana na mumewe. Duu ishakuwa ishu kwaBanzi)iNimewasiliana na Ahmed Rashid Tagambwaga aliyeko Sitzerland ameona gele sana tulivyokutana. Address yake ni mhehear@yahoo.com
Mr. George Israel Mnyitafu

No comments: