Friday, January 28, 2011

Wengi hawafahamu Chuo cha Utumishi wa Umma


Wengi wamezoea kukiita Chuo cha Maskretari-Magogoni chini ya Idara Kuu ya Utumishi. Sasa Chuo hicho kinaitwa Chuo cha Utumishi wa UMMA. Chuo hiki kilianzishwa kama wakala wa Serikali chini ya Sheria ya Uwakala wa Serikali ya mwaka 1997. Wakala huu ulizinduliwa rasmi mwezi Agosti 2000 kupitia mpango wa Uboreshaji Utumishi wa Umma (PSRP).Programu ya uboreshaji utumishi wa umma kuwa chombo chenye uwezo, taratibu na utamaduni mpya wa utoaji huduma kwa ubora na ufanisi zaidi.

No comments: