Monday, January 10, 2011

Hatimaye Mbagala R3 imepata ufumbuzi

Dereva anayepiga U-turn pale Mbagala Rangi Tatu karibu na kituo cha mafuta - fine ni sh. 50,000/- Madereva wanashikishwa adabu na sasa hakuna msongamano wa magari tena. Kumbe tatizo ni utaratibu na siyo ubovu wa barabara. Lakini leo hii kuna madereva wameanza kupiga U-turn baada ya kuona kuwa hakuna askari wa usalama wa barabarani. Hivi Watanzania tunataka tuchungwe kama wanyama?

No comments: