Friday, April 10, 2015

Catherine na Maria - Binti zangu

Nimebahatika kupata watoto wawili. Kati ya hao wawili na mabinti. Catherine Banzi (kulia) anasoma Victory Secondary School kidato cha Nne na Maria Banzi  yuko darasa la Nne shule ya msingi ya Carmel iliyoko Vikindu, Mkuranga, Mkoa wa  Pwani. Namshukuru Mungu

No comments: