Thursday, April 30, 2015

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo





Picha hizi nilizipiga kwenye mazingira ya shule. Hapa ni shule ya Msingi Kisemvule, si mbali na mahali ninapoishi. Picha za mbili juu  ni watoto wa asili ya kutoka Pwani wao ni mpira. Huyu mtoto aliyekumbatia vitabu na madaftari ni Malik Ulomi. Ni mtoto wa Kichagga. Unaweza kuandika hadithi ndefu kuhusu picha za watoto hawa. Toa maoni yako

No comments: