Tuesday, April 21, 2015

Mpunga unaanza kuchanua shambani

Watanzania wengi tunapenda kula wali, lakini wali unatokana na kulima  mpunga. Ili uweze kufanikiwa katika kilimo cha mpunga  ni sharti ufuate utaalamu wa kilimo hicho kuanzia utayarishaji wa shamba,mbegu bora, jinsi ya kupambana na wadudu na magonjwa, uvunaji, utunzaji, kukoboa,kusafirisha na kutafuta soko ili walaji wapate kuutumia. Haya yote unaweza kuyapata kutoka kwa mshauri wa kilimo aliyeko kijijini,wilayani, taasisi za utafiti na mafunzo na hata Wizarani.

No comments: