Friday, April 10, 2015

Igizo la Ijumaa Kuu liliwaliza wengi Vikindu


Kwa mara ya kwanza katika historia ya Parokia ya Vikindu. Vijana wa Seminari ya Vinsentian iliyopo Vikindu walifanya igizo la mateso ya Bw. wetu Yesu Kristo siku ya Ijumaa kuu. Igizo hili lililiza waumini wengi walifika kwenye ibada hiyo.

No comments: