Friday, April 10, 2015

Chai ya Ijumaa ya watafiti wa makao makuu-DSM (DRD)

Hii nayo ni motisha kwa wafanyakazi. Idara ya Utafiti na Maendeleo Makao Makuu-DSM imejiwekea utaratibu wa kuwa na chai ya saa nne kila siku ya Ijumaa. Wafanyakazi wenyewe hugharamia chai hiyo. Kikubwa wafanyakazi hutumia muda huo kupeana taarifa rasmi na zisizo rasmi!

No comments: