Thursday, April 30, 2015

Watoto wa Utatu Mtakatifu Parokia ya Vikindu wakiwa na Askofu Msaidizi Nzigilwa



Kanisa linawalea watoto wa Kanisa kiimani wangali wadogo. Hawa ni watoto wa Utatu Mtakatifu - Parokia ya Vikindu wakiwa katika picha ya Pamoja na Askofu Msaidizi Nzigilwa wa Jimbo Kuu la Dar Es Salaam. Askofu Nzigilwa  alifika Parokiani Vikindu  mwezi Juni 2014 kutoa Sakramenti ya Kipaimara kwa walioandaliwa.

No comments: