Thursday, April 30, 2015

Wamepata Kipaimara lakini wako wapi sasa?

Mwanangu John Linus Banzi (wa pili kutoka kushoto) alipata kipaimara mwaka jana. Kanisa linajiuliza, je, watoto wetu wanaendelea kufuata mafundisho ya kanisa na kusali kwa mujibu wa taratibu za Kanisa? Hili ni changamoto kwa Kanisa. Wazazi tunawajibu mkubwa kuhakikisha kuwa watoto wetu  wanaendeleza imani ya Kanisa letu KATOLIKI.

No comments: