Friday, April 10, 2015

Semina kuhusu ndoa-Parokia ya Vikindu


Ili kuimarisha ndoa zilizopo na kuvutia wasiofunga ndoa wafunge ndoa, mwezi Machi tarehe 14, 2015 , Parokia ya Vikindu iliendesha semina ya wanandoa na wasio na ndoa kwenye ukumbi wake wa mikutano. Washiriki wa semina hiyo walikuwa ni 20 ni watoa mada walitoka Kamati ya Utume wa Familia-Jimbo Kuu la Dar Es Salaam (Bw.Didas Kapinda na Bw. Adrian Mpande). Kikubwa kilichozungumzwa kwenye semina hiyo ni kuzingatia mambo matatu katika ndoa nayo ni:- Uaminifu, Udumifu na Upokeaji.

No comments: