Tuesday, April 21, 2015

Raia wakigeni akishambuliwa Afrika ya Kusini

Hivi ndivyo inavyotokea Afrika ya Kusini hivi sasa. Raia wa kigeni amewekwa mtu kati anashambuliwa na watu wanaangalia tu. Hakuna mzungu hapo, wote ni weusi, wanamshambulia mweusi mwenzao. Afrika hii hii, tunabaguana kwa chuki tu, kwa ubinafsi wetu. Hivi kweli siku moja Afrika tunaweza kuwa wamoja? Inatakiwa tafakuri ya kina.

No comments: