Thursday, September 3, 2009

KWA HAKIKA TUNACHANGANYA WARAKA NA ILANI

Inavyoelekea wengi hatufahamu maana ya maneno haya mawili WARAKA na ILANI ndiyo maana yanatuchanganya ni tusipompata mwalimu mzuri wa kutufafanulia hili kwa kweli tutachanganyikiwa. Mnasemaje wadau?

No comments: