Friday, September 18, 2009

Siku ya wazazi Kisemvule


Kwa mara ya kwanza tangu Shule ya Msingi Kisemvule iliyoko wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani ianzishwe, mwaka huu iliandaa siku ya wazazi na kuwaalika wazazi na wageni wengine kuona shughuli za watoto wao wakiwa shuleni. Pichani wanafunzi wakitoa burudani ya ngoma kwa wazazi wao pamoja na wageni waalikwa waliofurika shuleni hapo.

No comments: