Friday, September 18, 2009

Wanafunzi wanapocheza ngoma wanaamsha morari


Pamoja na kujifunza na masomo mengine darasani ni vizuri wanafunzi wakajifunza ngoma za asili ili kujenga uzalendo na morari. Wakati mwingine mwili unachoka ati. Pichani wanafunzi wa shule ya msingi Kisemvule wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani wakicheza ngoma kuwaaga wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu. Sherehe hizo za wazazi 'parents day' zilifanyika kwa mara ya kwanza shuleni hapo mwezi Agosti 2009

No comments: