Wednesday, June 30, 2010

Anafikiria kuplemba na kutathmini utafiti

Dkt. Catherine Madata amebobea katika nyanja za uzalishaji wa maharage. Aidha kwa sasa ndiye Mkurugenzi wa Utafiti Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambako makao yake makuu ni kituo cha Utafiti wa Kilimo Uyole kilichoko Mbeya. Mwezi wa sita mwaka 2010 alikuwa kwenye timu iliyohusika na kupelemba na kuthatmini shughuli za Utafiti kanda ya Mashariki (vituo vya Utafiti Mikocheni, Kibaha, Mlingano,Utafiti wa Mifugo Tanga na Utafiti wa Ndorobo na Malare-Tanga). Pichani Dr. Madata yuko tayari kwa safari za kukagua shughuli za utafiti.

No comments: