Wednesday, June 30, 2010

Vicent Enyeama ameonyesha uwezo mkubwa


Golikipa nambari wani wa Green Eagles ya Nigeria, Vicent Enyeama ameonyesha uwezo mkubwa katika mashindano ya Bingwa wa Dunia wa Soka yanayoendelea hivi sasa nchini Afrika ya Kusini ambayo ni mara ya kwanza kufanyika barani Afrika. Uwezo aliouonyesha Vicent ni wa ahali ya juu, licha ya timu yake kutolewa katika hatua za awali.

No comments: