Tuesday, June 29, 2010

Vituo vya utafiti vyaanza kukarabatiwa


Serikali kwa kupitia Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo imeanza kukarabati vituo vya utafiti zikiwemo nyumba za wafanyakazi pamoja na miundo mbinu muhimu ya utafiti. Pichani nyumba ya wafanyakazi (Quarter C) iliyokarabatiwa katika kituo cha Utafiti wa Mifugo Tanga (LRC-Tanga).Endapo ukarabati huu utaendelea kufanyika kila mwaka vituo vya utafiti vitakuwa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi na hivyo kutoa matokeo yaliyokusudiwa na kusaidia kuleta maendeleo nchini.

No comments: