Tuesday, June 29, 2010

Mimi Karata yangu ni kwa JERUMANI!


Watu wananishangaa ninaposema kuwa karata yangu naichanga kwa JERUMANI. Ni kweli. Mimi sishabiki rangi kama bwana Mkwawa wa KILIMO.Wajerumani wameonyesha kandanda safi ya kujituma na yenye malengo. Angalia alivyochapwa MWINGEREZA! Kelele zote, majigambo yote kwisha yu wapi ROONEY?

No comments: