Tuesday, June 29, 2010

Utafiti wa muhogo kwa mkulima


Ili utafiti uweze kukubaliwa ni vema ukajaribiwa katika mazingira ya mkulima. Watafiti wa zao la muhogo katika kituo cha Utafiti wa Kilimo Kibaha wanafanyakazi karibu sana na wakulima. Huko visiga mkulima maarufu ambaye anajishghulisha na kilimo cha maembe na muhogo amekubali kufanya utafiti na watafiti hao. Tatizo kubwa la zao la muhogo ni soko. Mkulima huyo wa Visiga aliwafahamisha watafiti waliomtemmbelea shambani kwake mwezi Juni mwaka huu kuwa mwaka 2009 aliacha hekta 40 za muhogo zikitekea shambani kwa kukosa soko. Pichani linaonekana bango la IITA

No comments: