Tuesday, June 29, 2010

Ningekuwa mtafiti ndama huyu angeitwa Lugoba


Timu ya watafiti mahiri wa sekta ya Kilimo ilipomtembelea mfugaji mmoja kata ya Lugoba wilaya ya Bagomoyo mkoani Pwani, katika zizi la wanyama wake tulimuona ndama huyu. Ndama huyu mwenye rangi nyeupe ni mzuri na mwenye afya. Ametokana na ng'ombe dume bora. Mimi ningekuwa mtafiti wa mifugo ningeanza kushughulika kuwapata ng'ombe wa aina hii tu na hatimaye kuwaita 'ng'ombe wa Lugoba.'

No comments: