Tuesday, June 29, 2010

Unapokaribishwa kwenye ukumbi wa mfugaji


Nilifurahi tulipokaribishwa kwenye ukumbi wa mikutano wa mmoja wa wafugaji waliopo Lugoba wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Ndani ya ukumbi tulipata maelezo ya kina jinsi mfugaji anavyoendesha ufugaji wake na utaalamu anaoupata na kuutumia pamoja na changamoto zinazomkabili.

No comments: