Saturday, October 30, 2010

Bro Omari Jakka wa Mikumi alikuwepo


Tuliondoka Mikumi saa 12 asubuhi kuelekea Morogoro kwa nia ya kushuhudia Komunio ya Kwanza ya Eric. Pichani Bro Omari Jakka wa Mikumi na Dada Irene Banzi wakilisakata ruhmba ukumbini Tushikamane.

No comments: