Thursday, October 21, 2010

Siku ya Chakula Duniani-Kimbiji


Siku ya Chakula Duniani 16 Oktoba iliadhimishwa kitaifa Kijijini Kimbiji,wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar Es Salaam. Maonyesho yaliyotawala siku hiyo ni usindikaji wa vyakula mbalimbali.

No comments: