Saturday, October 30, 2010

Wakati wa kuburudika


Baada ya kushughulika sana wajomba mama mkubwa wanaburudika. Pichani kutoka kushoto Gaitan Banzi,Anthony Kunambi, Faustini Mizambwa na Mama Mkbwa Dr.Doreen Moshi wakiburudika kwa raha zao! kwenye tafrija ya kumpongeza Eric ukumbini Tushikamane-Kilakala, mjini Morogoro.

No comments: