Thursday, October 28, 2010

Eric Mkoba amepata Komunio


Kwa Mkristo Mkatoliki Sakaramenti ya Komunio ni moja ya sakaramenti 7 muhimu katika kanisa hilo. Jumapili iliyopita Eric Mkoba wa Kilakala Morogoro alipata Komunio ya Kwanza kwenye Parokiani Kigurunyembe, Mkoani Morogoro baadaye tafrija ya nguvu ilifanyika katika ukumbi wa TUSHIKAMANE.

No comments: