Thursday, October 21, 2010

Mwenyekiti wa Parokia alitoa Shukrani


Mwenyekiti wa Parokia ya Mt.Vincent wa Paulo, Vikindu alitoa shukrani kwa niaba ya waumini kwa Askofu Salutaris Libena kwa kufika Parokiani kwa mara ya kwanza na kutoa Sakramenti ya Kipaimara kwa waumini.

No comments: