Thursday, October 21, 2010

Mzee Luhungu alitoa nasaha kwa mwanawe Joy


Kama kuna siku ambayo mzee Charles Kyando Luhungu alifurahi basi ni usiku wa tarehe 12/10/2010 pale ukumbini Estana. Baba Joy alicheza tangu alipofika ukumbini na katika kipindi chote cha sherehe. Na baadaye alitoa nasaha ya maisha mapya kwa mwanawe wa kwanza Joyce Kyando.Pichani Mzee Luhungu akitoa nasaha kwa mbwembwe!

No comments: