Thursday, October 21, 2010

Send Off ya Nguvu kwa Joyce Kyando


Usiku wa tarehe 12/10/2010 ulikuwa wa hoihoi vifijo na nderemo nyingi wakati wazazi, ndugu na marafiki walipomuaga binti yao mpendwa Joyce Kyando katika ukumbi maarufu wa Estana uliopo barabara ya Ali Hassani Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria jijini Dar. Pichani Joyce (kulia) akiwa na matron wake.

No comments: