Thursday, September 23, 2010

Fr.Jakka kiganja shavuni


Kwa kawaida Fr. Venance Jakka (Kaka yetu) huwa na ujasiri mkubwa wakati misiba inapotokea lakini huu wa Bibi Sr.Maria Magdalena bila kujijua alijikuta mwenye majonzi mkubwa. Fr. Jakka alimpenda bibi na bibi alimpenda Fr. Jakka mjukuu wake. Wameishi wote kwa takribani miaka saba kwenye Parokia ya Ruaha. Kila wakati Fr. Jakka alikuwa karibu sana na bibi ikituokea shida na raha wako pamoja. Bibi amefia mikononi mwa Fr. Jakka.Fr. Jakka umeonyesha mapendo makubwa katika familia ni wachache sana wenye moyo kama wako.TUMSIFU YESU KRISTU.

No comments: