Wednesday, September 22, 2010

Askofu Telesphor Mkude akiendesha Ibada ya Mazishi


Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Mhashamu Baba Askofu Telesphor Mkude (wa nne kutoka kulia) aliendesha ibada ya mazishi. Mhashamu Baba Askofu Athony Banzi wa Jimbo la Tanga (wa pili kutoka kulia)pia alishiriki kwenye Ibada hiyo.

No comments: