Wednesday, September 1, 2010

Lazima atakupa kazi


Katika picha ni Krishan Bheenick mratibu wa Warsha inayoendelea hapa Pretoria kuhusu Habari na Mawasiliano katika Kilimo kwa nchi wanachama wa SADC.Unapokuwa naye ni lazima utakuwa na la kufanya si kukaa tu na kusikiliza. Kweli tupo kwenye Warsha!

No comments: