Wednesday, September 1, 2010

Kuna wakati nilishika kalamu na kuongoza mjadala


Ndiyo hapa kila mtu anashiriki kikamilifu.Jana nilipata fursa ya kuwakilisha yaliyotokea kwenye mazungumzo yanayoitwa World Cafe na leo niliongoza majadiliano katika kikundi nilichopangiwa mpaka kieleweke.

No comments: