Thursday, September 2, 2010

Mwanahabari wa Kisasa


Moja ya kifaa muhimu kwa mwanahabri wa kisasa ni kompyuta.Aidha haitoshi tu kuwa na kopmyuta lazima kujengewa uwezo wa jinsi ya kutumia kifaa hicho upashanaji habari na mawasiliano.
Pichani ni Jerome Nkhoma kutoka Malawi akisisitiza jambo katika warsha inayoendelea hivi sasa mjini Pretoria. Jerome ni Afisa Ugani Kilimo lakini amebobea katika nyanja ya habari na mawasiliano. Ni rafiki yangu, tumeshiriki mara nyingi katika kazi za kitaalamu zinazoandaliwa na SADC katika masuala ya habari. Timu yao kutoka Malawi ni ya watu watatu pia.

No comments: