Wednesday, September 1, 2010

Akina mama wameshiriki kwa wingi

Kwenye warsha hii kuna wataalamu 16 akinamama.Hawa ni wataalamu wa habari na mawasiliano wanatoa mchango mkubwa.Sijaona idadi kubwa ya washiriki akina mama katika mikutano ya kazi kama hii .Tanzania tumewakilishwa na wataalamu wawili, Dr.Janet Kaaya na Bi.Vidah Mahava.

No comments: